Leo ni miaka 55 ya Uhuru wa iliyokuwa Tanganyika. Maadhimisho ya mwaka huu yanafanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, ambapo Rais John Magufuli amekagua gwaride maalum// Mgomo wa madaktari wa hospitali za umma nchini Kenya umeingia siku ya tano hii leo// Ghana ingali bado imegubikwa na wasiwasi, wakati raia wake wakisubiri kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais.