Umoja wa Ulaya umesema utaendelea kuheshimu makubaliano juu ya mpango wa nyuklia wa Iran, na hautarejesha vikwazo dhidi ya nchi hiyo// Viongozi wa China, Japan na Korea Kusini wamekubaliana kushirikiana kuitafuta amani katika Rasi ya Korea// Wizara ya afya nchini Kongo imethibitisha kuzuka upya kwa ugonjwa wa Ebola.