Waziri anayeondoka wa Mambo ya Kigeni wa Ujerumani Sigmar Gabriel amemkosoa vikali mrithi wake Martin Schulz kwa kukosa kutimiza ahadi // Wapiganaji wa kikurdi nchini Syria wamewakamata wanamgambo wawili wa Uingereza wa kundi la IS // Na Ethiopia yawaachilia huru wafungwa 746, akiwemo mwandishi wa habari na mwanasiasa wa upinzani