Operesheni inayoendeshwa na serikali ya Tanzania kupitia mkoa wa Daresalaam ya kupambana dhidi ya watumiaji na wasambazaji wa madawa ya kulevya inazidi kupamba moto// Serikali ya Tanzania inazingatia uwezekano wa kuchukua hatua za kisheria kulilazimisha koloni la zamani-Ujerumani ilipe fidia kwa maovu yaliyofanywa karne moja iliyopita.