Vikosi maalum vya jeshi la Iraq vinavyopambana na kundi linalojiita Dola la kislamu IS vimeufikia ukingo wa mashariki katika Mto Tigris mjini Mosul// Serikali ya Iran imetangaza siku tatu za maombelezo ya kitaifa kufuatia kifo cha rais wa zamani wa nchi hiyo Akbar Hasehmi Rafsanjani// Hali ya baridi kali imeathiri maeneo mengi katika bara Ulaya.