Wapiga kura wa Marekani wanaendelea kuteremka vituoni// Mfumo wa uchaguzi nchini Marekani ni tofauti kabisa na mifumo mingi ya uchaguzi katika nchi mbali mbali ulimwenguni// Leo ndio siku ambayo ilikuwa ikitarajiwa kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo// Serikali ya Burundi imekiri kuwepo kwa njaa katika baadhi ya wilaya za mkoa wa Kirundo.