1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.09.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S8 Septemba 2017

Muungano mkuu wa upizani nchini Kenya sasa unadai kuwa baadhi ya makamishna wa Tume ya kusimamia uchaguzi wamepewa vitisho huku wakinyang’anywa ulinzi wao// Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis leo hii anatarajiwa kulitembelea eneo ambalo liliwahi kuzingirwa na waasi wa mrengo mkali wa kushoto, ambako huko atashiriki ibada pamoja na wahanga wa mzozo nchini Colombia.

https://p.dw.com/p/2jal9