Wapiga kura nchini Uingereza wanapiga kura leo hii katika uchaguzi uloitishwa kwa haraka na Waziri Mkuu Theresa May// Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Usalama la Marekani FBI, James Comey, leo atasimama mbele ya Baraza la Congress// Muungano mkuu wa upinzani nchini Kenya-NASA, umezindua kikundi cha wanachama 15 watakaoongoza kampeini zao miezi miwili kabla ya uchaguzi mkuu.