1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.02.2017 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S8 Februari 2017

Jopo la pamoja la Wabunge na maseneta wa Somalia linamchagua rais wa nchi hiyo hii leo// Serikali ya Ghana imepiga marufuku shughuli za uvuvi, katika juhudi za kukuza tena kiwango cha samaki// Shughuli za kuwasafirisha wahamiaji haramu zimegonga mwamba nchini Niger baada ya kufanyika msako mkali katika mji wa Agadez.

https://p.dw.com/p/2X8sN