Maandamano ambayo yameitikisa Iran hayakulenga tu uchumi, amesema rais Hassan Rourani leo// Kiongozi mpya wa chama tawaa nchini Afrika Kusini ANC Cyril Ramaphosa ahimiza umoja ndani ya chama hicho// Maafisa wa kupambana na rushwa wanamchunguza
Grace Mugabe, mke wa rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe kufuatia ardhi aliyojipatia katika mazingira ya utata.