Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Sigmar Gabriel ameionya Marekani juu ya hatari ya kuhamisha ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv na kuupeleka Jerusalem// Katika harakati za kukabiliana na ukwepaji kulipa kodi duniani, Umoja wa Ulaya umeziorodhesha nchi 17 zilizo nje ya Umoja huo na kuzitaja kama nchi zinazotoa nafasi ya uhalifu huo kufanyika.