Mshindi wa tuzo ya Amani ya Nobel mwaka wa 2017 anatarajiwa kutangazwa hii leo// Baada ya mihula miwili madarakani,rais wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf atakaabidhi madaraka mwaka 2018// Wakaazi asilia wanaokabiliwa na kitisho kutoka kwa makampuni yanayotaka kuendeleza ardhi zao kwa ajili ya miradi ya kilimo, uchimbaji madini na nishati, watasaidiwa kifedha na kivitendo.