Katika mkesha wa mkutano wa kwanza na rais wa Urusi Vladimir Putin, rais Donald Trump ameapa leo kupambana na njia mpya za uchokozi// Sanaa ya muziki wa dansi katika eneo la Afrika Mashariki imekumbwa na wingu nzito baada ya mwanamukizi nguli Shaban Dede kufariki dunia nchini Tanzania.