Wakuu wa mashirika ya ujasusi nchini Marekani wanatazamiwa kukabiliana na rais mteule Donald Trump hii leo// Habari za kundi moja la watumishi wa serikali nchini Uganda kupokea zawadi ya pesa taslimu kufuatia ushindi wa kesi ya ushuru wa mafuta mjini London, zimezua mjadala kama walistahili kuzipokea// Utafiti wa maoni uliofanywa unaonyesha kuwa watu wengi nchini Ujerumani wanahisi wako salama.