Hali ya kisiasa nchini Yemen imegeuka hasa kufuatia kuuawa kwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo aliyeondolewa madarakani Ali Abdallah Saleh hapo jana// Maspika 7 wa nchi kadhaa za kiafrika leo wanazuru Israel ambapo watahudhuria vikao vya bunge la nchi hiyo Knesset.