Waziri Mkuu wa Italia, Matteo Renzi anatarajiwa leo kujiuzulu, baada ya kushindwa katika kura ya maoni iliyofanyika jana Jumapili// Wapiga kura nchini Austria wamekataa kumchagua Norbert Hofer mgombea anaaelemea siasa kali za mrengo wa kulia// Madaktari na wauguzi nchini Kenya wameanza mgomo rasmi baada ya mazungumzo kati yao na wizara ya afya kugonga mwamba.