1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.04.2018 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S4 Aprili 2018

Uingereza imepinga pendekezo la kushirikiana na Urusi katika kufanya uchunguzi wa pamoja kuhusu kadhia ya mjini Salisbury ambapo jasusi wa zamani na binti yake walitiliwa sumu// Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inataka ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa kuondoka nchini humo ifikapo mwaka 2020.

https://p.dw.com/p/2vUp2