1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.04.2018 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S4 Aprili 2018

Mnamo tarehe 4, mwezi Aprili mwaka 1968, vuguvugu la kupigania haki za kiraia nchini Marekani lilimpoteza kiongozi wao mkuu, Martin Luther King Jr.// Hatima ya Seif al Islam, mwana wa aliyekuwa kiongozi wa Libya, Muammar Gadhafi haijulikani, mwaka mmoja baada ya waasi wa Libya kutangaza kuwa wamemuachia huru.

https://p.dw.com/p/2vRq3