1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.11.2016 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S3 Novemba 2016

Nchini Afrika Kusini Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma ameendelea kukutana na wakati mgumu// Asasi za kiraia na wanaharakati nchini Kenya leo walitawanywa na polisi walipojaribu kuandamana// Je kwanini serikali ya Rais Uhuru Kenyatta imezongwa na kushindwa kupambana na jinamizi hili la ufisadi?// Serikali ya Burundi imetishia kuwaondowa wanajeshi wake kwenye kikosi cha kulinda amani Somalia.

https://p.dw.com/p/2S6x2