Kerry amesema kwamba mazungumzo yanayofanyika mjini Geneva yanakaribia kurefusha usitishaji mapigano mjini Aleppo/ Kuuliwa kwa Osama bin Laden kulitarajiwa kupunguza au kukomesha kabisa ugaidi ulimwenguni, lakini hali inayoshuhudiwa sasa ni tofauti/Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo: Muungano wa vyama vya upinzani umemtangaza Moise Katumbi kuwa mgombea wao wa pamoja katika kinya'ng'anyiro cha urais