Viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya wanakutana leo nchini Malta// Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Sigmar Gabriel amekutana na mwenzake wa Marekani Rex Tillerson pamoja na makamu wa rais wa nchi hiyo Mike Pence mjini Washington// Ziara ya Kansela Angela Merkel nchini Uturuki imekuja katika wakati mgumu.