Baadhi ya viongozi barani Afrika wamebadilisha katiba ili kuwawezesha kuendelea kusalia madarakani// Mgombea urais nchini Ufaransa Emmanuel Macron amesifu hatua ya Kansela wa Ujerumani Angela Merkel kuwapokea mamia ya maelfu ya waomba hifadhi// Huku siku za kuapishwa kwake kuwa rais wa Marekani zikikaribia, Donald Trump anaonekana kujishughulisha mno na siasa za nje za taifa hilo.