Ujerumani imetwaa uwenyekiti wa kundi la mataifa yaliyoendelea na yanayoinukia kiuchumi duniani la G20// Wananchi wastahiki wa Italia wanapiga kura katika zoezi la kura ya maoni ambayo huenda ikalitumbukiza taifa hilo katika mkwamo wa kisiasi// Muhammad Yunus amesema pengo linalozidi kati ya watu matajiri na maskini duniani ni mithili ya bomu linaloweza kulipuka wakati wowote.