Ripoti ya uchunguzi kuhusu ufisadi na ushawishi wa familia tajiri ya Gupta katika serikali ya rais Jacob Zuma imetolewa muda mchache uliopita// Chuo kikuu cha Makerere cha fungwa kwa muda usiojulikana// Vikosi vya Syria na vile vya Urusi vitaweka silaha chini kwa muda wa masaa 10 ijumaa inayokuja// Wagombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa Marekani wanaendelea kuchuana vikali.