1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.08.2017 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S2 Agosti 2017

Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Kenya zimeingia kipindi cha lala usalama// Kiongozi wa muda mrefu nchini Rwanda Paul Kagame atachaguliwa tena Ijumaa na kutakuwa na uwezekano wa kukaa madarakani hadi mwaka 2034// Jeshi la Nigeria linalaumiwa kuwa linachukua hatua kali katika kupambana na kundi la kigaidi lenye misimamo mikali ya dini ya Kiislam Boko Haram//

https://p.dw.com/p/2hXRP