Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amesema Ujerumani itaendelea kuunga mkono mkataba wa kimataifa wa Paris wa mabadiliko ya tabianchi// Marekani imemuwekea vikwazo mshauri mkuu wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo// Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa linapiga kura leo kuamua kuhusu mapendekezo ya Marekani na China kuwawekea vikwazo maafisa zaidi wa Korea Kaskazini.