Shule nyingi zinapofunguliwa mwezi huu kwa muhula mwingine, sekta ya elimu nchini Sudan Kusini inakabiliwa na changamoto nyingi// Serikali ya Rwanda imeyafunga makanisa zaidi ya 700 ya kipentekoste mjini Kigali// Wimbi la uhalifu ikiwemo utekajinyara na mauaji nchini Uganda umelazimu mamlaka ya mawasiliano ya nchi hiyo kutangaza masharti makali kuhusiana na usajili wa kadi za simu za mkononi.