1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.02.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S2 Februari 2017

Rais wa Marekani Donald Trump amesema Iran imewekwa katika kile alichokiita "ilani" baada ya jaribio la karibuni la kombora// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amewasili ikulu ya Uturuki iliyopo mjini Ankara kukutana na Rais wa nchi hiyo, Recep Tayyip Erdogan// Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliwa na wasiwasi kuhusu mustakbali wake kufuatia kifo cha Etienne Tshisekedi wa Mulumba.

https://p.dw.com/p/2WsVB