Rais wa Marekani Donald Trump atatangaza leo iwapo ataiondoa Marekani kutoka kwenye makubaliano kuhusu mabadiliko ya tabia nchi yaliyoafikiwa mjini Paris, Ufaransa// Waziri Mkuu wa China lI Keqiang leo hii ametowa wito wa kuwepo kwa juhudi za pamoja kuregeza masharti ya biashara na uwekezaji wakati akiwa katika ziara yake nchini Ujerumani.