Deutschewelle:Moroko na Niger zimeyaaga mashindano ya kombe la mataifa ya Afrika licha ya ushindi wa bao moja kwa bila.
Mvua kubwa za El nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania zimesababisha vifo vya watu 155 nchini Tanzania+++Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameonya kwamba Umoja wa Ulaya unaweza kuwa hatarini kutokana na ushindani kutoka Marekani
Miili ya watu wasiopungua 13 imeopolewa kutoka maeneo tofauti ya mji mkuu wa Kenya kufuatia mafuriko+++Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch limesema kuwa vikosi vya jeshi nchini Burkina Faso vimewaua raia 223
Hali ya hewa ya El Nino inasababisha hali mbaya ya hewa kwenye mataifa ya Afrika Mashariki+++Wakati mafuriko yakishuhudiwa katika baadhi ya nchi, wachuuzi wa mitaani katika mji mkuu wa Mali wa Bamako wanauza mifuko ya maji